Wednesday, 28 May 2014

Habari ya Mume wa Mwimbaji Maarufu wa Injili Kumbaka Shemeji Yake..Je ni Nani?

Leo Gazeti Maarufu la Mwananchi wamechapisha habari kuhusu mume wa Mwimbaji maarufu wa music wa Dini ama Injili kumbaka mara tatu mdogo wa Mke wake ambae ana miaka 17 lakini wamesita kutoa jina la Mwanamuziki huyo Maarufu , Haya wadau wenye kujua Ukweli kuhusu Mwanamuziki huyo ni nani fungukeni hapa kwenye Comments

No comments:

Post a Comment