![](http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/05/26/140526162938_boko_haram_512x288_reuters_nocredit.jpg)
Thursday, 29 May 2014
MWILI WA RACHEL HAULE WAAGWA LEO HII, IRENE UWOYA AZIMIA. PICHA HIZI HAPA
Picha: Irene Uwoya Azama Kwenye Penzi la Dancer wa THT, Msami
Rais Goodluck atangaza vita vikali
![](http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/05/26/140526162938_boko_haram_512x288_reuters_nocredit.jpg)
Exclusive picha 5 za harusi ya Kanye West na Kim Kardashian zilizotolewa na E News
Wednesday, 28 May 2014
Mwanaume Mchumba wa Vicky Kamata kumbe ni Tapeli Alishawatapeli Wadada Wengine Wawili
"Le Mutuz leo nilienda kumtembelea Mheshimiwa Mbunge Vicky Kamata, Nyumbani kwake Sinza Kijiweni she is fine and doing great baada ya kukutwa na mkasa mzito wa kukutana na
ALICHOKIFANYA RAIS OBAMA HAKUNA RAIS MWINGINE ANAEWEZA KUJARIBU..JIONEE HII VIDEO
Hivi karibuni Raisi mwenye guvu zaidi duniani na maadui wengi kuliko maraisi wote Barack Obama aliamua kutembea mtaani kama raia wa kawaida. Alionekana akicheka, kusalimia watu na
LEO NI KUMBUKUMBU YA MWAKA MMOJA TOKA ALBERT MANGWEA AFARIKI.
KIPRE TCHETCHE MCHEZAJI BORA TANZANIA, CASILASS WA MTIBWA NDIYE KIPA BORA
MSHAMBULIAJI wa Azam FC kutoka Ivory Coast, Kipre Herman Tchetche ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu wa 2013-2014 akiwapiku Anthony Matogolo wa Mbeya City na Lugano Mwangama wa Prisons.
Kwa ushindi huo, Kipre amezawadiwa kitita cha Sh. Milioni 5.2.
Aidha, kipa wa Mtibwa Sugar ya Morogoro, Hussein Sharrif ‘Cassilas’ ameshinda tuzo ya mlinda mlango bora wa Ligi Kuu akiwapiku David Burhan wa Mbeya City na Beno Kakolanya wa Prisons.
Habari ya Mume wa Mwimbaji Maarufu wa Injili Kumbaka Shemeji Yake..Je ni Nani?
Tuesday, 27 May 2014
WANADINGA `SAMBA BOYS` HAWANA `GONJWA` LOLOTE`, KUKINUKISHA KOMBE LA DUNIA JUNI 12
![Open wide: David Luiz undergoing a medical check-up at the squad's Granja Comary training complex](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2014/05/26/article-2639982-1E3AE6FA00000578-772_634x414.jpg)
JACKLINE WOLPER AZUNGUMZA YOTE KUHUSU YEYE NA NEY WAMITEGO SOMA HAPA KUJUA ALICHOSEMA
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi7Jqjpv82XhJziAqV46oX3kEcX-G7k-oGV0PWu3uRztPVwOEZBCtmJjS4AeMWNy8QE-wpgeDAH4-GuMiYHJSmFiwq7GdtXyZwrd38XScG2gz6VI7_YdoCOqWJBvxWz0ZG1w6nxDkUFE4k/s640/970d294cdc0711e28c7c22000a1fb876_72.jpg)
Monday, 26 May 2014
VAN GAAL AIFUMUA LISTI YA USAJILI MAN UNITED NA KUWAPIGA CHINI FABREGAS, KROOS...ATAKA WAHOLANZI KIBAO NA SCHWEINSTEIGER
Thursday, 22 May 2014
LUIS SUAREZ APASULIWA GOTI, YAELEZWA ATAPONA MAPEMA NA KUWAHI KOMBE LA DUNIA BADO BICHI KUANZIA MECHI NA ENGLAND
RATIBA YA URUGUAY
VAN GAAL AWAELEKEZA MAN UNITED WACHEZAJI WA KUSAJILI, WAHOLANZI KIBAO KUTUA OLD TRAFORD
VAN GAAL AWAELEKEZA MAN UNITED
BALAA LINGINE LAMKUTA MOYES MWEZI MMOJA TANGU ATIMULIWE MAN UNITED, SASA ADAIWA KUMDHALILISHA 'DOGO' BAA
ALIYEKUWA kocha wa Manchester United, David Moyes anachunguzwa na Polisi kwa tuhuma za kijana wa kiume baa.
MASHINDANO YA MAGARI NJIRO ARUSHA YAUWA WATOTO KADHAA WALIOKUWA WAKIYATAZAMA MUDA HUU !!VIDEO NZIMA IPO HAPA BOFYA KUTAZAMA
Wednesday, 21 May 2014
HAYA NDIO MADHARA YA KUFANYA MAPENZI KUPITA KIASI...!! SOMA HAPA KUFAHAMU
Katika hali ya kawaida kufanya mapenzi kuna
faida nyingi, lakini linapokuja suala la kuzidi kiasi
tunapata matatizo ya msingi ambayo huleta
madhara kwa watu wanaoendekeza sana ngono.
Kuna watu ambao hawezi kulala bila kufanya
mapenzi na huku wengine wakikosa uwezo wa
kuvumilia hata kwa siku mbili au tatu.
Mtu anaweza kuwa na mke na kujikuta kila siku
anatumia ‘chakula cha usiku’ kwa sababu tu
hakuna wa kumkataza na kwamba ana haki ya
kufanya hivyo kwa sababu amelipa mahari.
Hilo linaweza kuwa jambo jema kwa upande
mwingine, lakini uchunguzi unaonyesha kuwa
watu wengi kati ya watu wanaolalamika kupoteza
hisia za kimapenzi hutoka katika kundi la watu
wapenda ngono.
Pamoja na tatizo hilo, yapo madhara mengine
mengi ambayo mtu asiyekuwa na kiasi katika
tendo la ndoa anaweza kukabiliana nayo, hivyo ni
vema tukajifunza ili tusiwe watu wa kuendekeza
miili kiasi cha kulazimika kufanya mapenzi kila
tunapokutana hata kwenye nguzo ya umeme na
chini ya miti kwa vile tu miili imetaka kufurahika.
Twende pamoja katika kutazama madhara hayo
kwa kina.
KUPOTEZA HAMU YA TENDO.
Watu wenye pupa za kufanya mapenzi hupoteza
haraka hisia za kimapenzi kwa wapenzi wao
kutokana na sababu za kisaikolojia zinazoweza
kujitokeza wakati wa ufanyaji wa tendo la ndoa
mara kwa mara.
Sababu hizo zinaweza kuwa ni pamoja na zile za
kumzoea mwenza kiasi cha kukosa msisimko
hata anapomuona akiwa mtupu.
Aidha kukinai haraka staili za kimapenzi
kunatajwa kujitokeza kutokana na kukutana mara
kwa mara kwa aina zile zile za mapenzi na
pengine sehemu moja, kitanda kimoja na chumba
kile kile, jambo ambalo linaweza kumfanya
mhusika asione jipya kutoka kwa mwenza wake
na hivyo kupoteza hamu naye na kuhisi kama
hawezi tena kushiriki tendo la ndoa kikamilifu.
KUUJAZA MWILI TAMAA KUBWA.
Tabia ya kufanya mapenzi mara kwa mara
huongeza uzalishaji wa homoni mwilini na
kuufanya mwili uwe na msukumo mkubwa wa
kutaka kuridhishwa kwa tendo la ndoa bila
kukosa na hivyo kumfanya mhusika asiwe mtu
mwenye uwezo wa kuzuia tamaa na kukosa
chaguo la nani wa kufanya naye mapenzi na kwa
wakati gani?
Watu wanaojiendekeza katika kufanya mapenzi
mara kwa mara ndiyo wale ambao kila
wanayemtazama barabarani humtamani bila kujali
hadhi yake.
Hawa ndiyo wanaobaka, kusaliti ndoa zao hata
kwa watumishi wa ndani au kufanya mapenzi na
watoto wao wa kuwazaa kwa vile akili zao huwa
zimeathirika kwa tamaa ya mapenzi.
Unapokuwa mtu wa kufanya mapenzi mara kwa
mara huwezi kuwa na uwezo wa kuzuia tamaa
yako. Mumeo akiondoka siku mbili unatamani
kuwa hata na houseboy ili akukate kiu ya penzi.
KUPOTEZA RAHA KAMILI YA TENDO.
Raha ya tendo hutegemea sana hisia iliyokuzwa
kutokana na mapenzi sahihi na kiu ya kufanya
mapenzi, hivyo basi ukiwa mtu wa kufanya
mapenzi kila mara unaweza kupoteza msisimko
wa tendo na kujikuta unapata furaha ambayo
haikutoshi kumaliza tamaa yako.
Kama ni mapenzi utakuwa unayafanya kwa
mazoea tu na msisimko wako utakuwa mdogo!
KUPOTEZA NGUVU ZA MWILI.
Madhara mengine yanayoweza kupatikana kwa
kufanya mapenzi mara kwa mara ni pamoja na
kupoteza nguvu nyingi za mwili.
Kama tujuavyo tendo la ndoa hasa kwa wanaume
huwafanya watumie nguvu nyingi, hivyo kuufanya
mwili uchoke. Aidha lishe inapokuwa ndogo kwa
wafanya mapenzi mwili hukosa nguvu za kutosha
kuhimili misukosuko ya kimaisha.
Sambamba na hilo mbegu za uzazi zinazotoka
kwa wanaume wanaofanya mapenzi mara kwa
mara huwa dhaifu.
KUPATA MAGONJWA.
Kama tulivyojifunza kuwa watu wanaofanya
mapenzi mara kwa mara huwa na tamaa na
hujikuta wanafanya mapenzi holela ambayo
huweza kuwasababishia magonjwa ya zinaa
ukiwemo ukimwi, lakini ufanyaji wa mapenzi
usiokuwa na msukumo wa kutosha hasa kwa
wanawake huwafanya waishiwe msisimko na
kuzifanya sehemu zao za siri kutotoa ute
unaoweza kuwakinga na michubuko wakati wa
kujamiiana na hivyo kuwasababishia michubuko
itakayoweza kuleta maambukizi ya haraka ya
magonjwa ya zinaa ukiwemo
Aunt Ezekiel akumbuka kichapo cha marehemu kuambiana
FAINALI YA UEFA YAMPELEKA DIEGO COSTA NCHINI SERBIA KUTIBIWA NA MGANGA WA KIENYEJI
![SOS: Diego Costa in Belgrade, where he is to see the controversial 'placenta doctor' in a bid to recover](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2014/05/20/article-2634352-1E0DB02200000578-824_634x421.jpg)
Tuesday, 20 May 2014
Nyoka Atoka Kwenye Begi La Mtu Akiwa Kwenye DalaDala, Watu Hoii...Cheki Hapa
Video Mpya ya Mwasiti “Serebuka” ilivyosababisha Gumzo Kubwa Kuhusu Linah na Amini
Alichosema kocha mpya wa Man United kuhusu Mourinho kumuonea wivu
![article-2633169-1E05E92000000578-923_636x454](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2014/05/article-2633169-1E05E92000000578-923_636x454.jpg?resize=626%2C447)
Hii Ndio List Ya Wasanii 10 wenye Pesa zaidi Africa..Cheki Hapa
Channel
O ya south Africa imeshirikiana na Forbes na kutoa orodha ya wasanii 10
wa Afrika wenye Mkwanja zaidi. List hii imekuwa compiled kwa kuzingatia
vigezo hivi:- Sales, Social -Media presence, endorsement value, YouTube
views, show rates , Influence, appearance in newspapers, investments,
popularity and other factors.Tuanze Countdown yetu.
PICHA ZA SHOW YA DIAMOND NA OMMY DIMPOZ WALIYO PIGA UINGEREZA NI NOMA SANAA
TAZAMA PICHA ZA MWILI WA MAREHEMU ADAM KUAMBIANA ULIVYOAGWA JANA KWAO MAENEO YA BUNJU.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhgrPYEOoUVO_KfUMah6NE1_LYoSCeSxXWD8FamZF8VDUNIqujLH_VPay7lLRLuzfTiZ-tBnRQdfW0AaEN4F8I_iFwr22oT5Mxxl0XkUwBsJB2cE66tl2kaRUXpc1f9sRK4HRnycR9wjQ0/s1600/KUAMBIANAKUAGWABUNJUB3.jpg)
Mwili wa Adam Kuambiana ukiandaliwa tayari kwa kuagwa nyumbani kwake Bunju B jioni hii.
Balozi wa Togo Nchini Nigeria Amefariki Akiwa na Kimada Kwenye Ajali ya Gari Wakitoka Club
Zaidi soma hapa chini Kwa Kidungu..lol
Kifo cha Adamu Kuambiana Sumu Yatajwa
Moja kati ya mazito hayo ni kuwepo kwa madai kwamba marehemu alikula au alilishwa sumu kupitia chakula.
HAWA NDIO WACHEZAJI WANATARAJIWA KUSAJILIWA NA MAN U..MSHAHARA WA VAN GAAL NA ATAPEWA PAUNI MIL 200 KUSAJILI
![Winged wonder: Bayern Munich star Arjen Robben is being considered by his national manager as a target](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2014/05/19/article-2633128-1DF7E23000000578-151_634x422.jpg)
Monday, 19 May 2014
BREAKING NEWS; LUIS ENRIQUE KOCHA MPYA BARCELONA
KLABU ya Barcelona imemteua kiungo wake wa zamani, Luis Enrique kuwa kocha wake mpya.
Baada ya Kim na Kanye – Ronaldo na mpenzi wake nao wala shavu
Wanawake wataka mapadre waruhusiwe kuoa
![](http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/04/27/140427093717_francis_pope_304x171_gettyimages_nocredit.jpg)
LOUIS VAN GAAL ATEULIWA RASMI KUWA KOCHA MKUU MAN UNITED, RYAN GIGGS AWA KOCHA MSAIDIZI
Wema, Diamond Wachafua Hali ya Hewa
WENGER APEWA MKATABA MNONO NA FUNGU LA MAANA LA KUFANYA USAJILI WA KUFURU ARSENAL, LENGO UBINGWA LIGI KUU MWAKANI
Sunday, 18 May 2014
UGANDA YAPIGWA 2-0, OKWI, KIIZA WAKICHEZA, MSUMBIJI YACHINJA 5-0
VAN GAAL AMTEUA VAN PERSIE KUWA NAHODHA MPYA MAN UNITED
![Double Dutch: Louis van Gaal (right) sees Robin van Persie as his perfect captain at Manchester United](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2014/05/19/article-2632075-1DF4686500000578-883_634x570.jpg)
PATI LA UBINGWA FA ARSENAL JANA, WENGER ASAULA WEMBLEY BAADA YA 'KULOA BIA'
![Raising spirits: Wenger is thrown into the air by the Arsenal side after the FA Cup win](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2014/05/17/article-2631518-1DF37FC600000578-34_634x448.jpg)
![Soaking: Wenger was soaked by his Arsenal players after their FA Cup win over Hull](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2014/05/17/article-2631518-1DF3C3D000000578-711_634x415.jpg)
![Shower time: Wenger, visibly soaked, celebrates victory with his players](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2014/05/17/article-2631518-1DF384D800000578-700_634x438.jpg)
![Happy pair: Serge Gnabry and Alex Oxlade-Chamberlain enjoy winning the FA Cup](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2014/05/17/article-2631518-1DF41B8200000578-333_306x423.jpg)
![Spanish duo: Cazorla and Nacho Monreal pose with the FA Cup](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2014/05/17/article-2631518-1DF40D3800000578-166_306x423.jpg)
![We've done it: left to right, Santi Carzorla, Mesut Ozil, Per Mertesacker, Serge Gnabry, Lukas Podolski and Aaron Ramsey with the FA Cup in the dressing room at Wembley](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2014/05/17/article-2631518-1DF40E0800000578-560_634x427.jpg)
![Leading the celebration: Podolski celebrates with the Arsenal fans after the FA Cup final win](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2014/05/17/article-2631518-1DF3A4A600000578-554_634x438.jpg)
![Hopeful: One Arsenal fan, sporting some interesting body art, looks on during the FA Cup final](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2014/05/17/article-2631518-1DF255E700000578-713_634x603.jpg)