
Baada ya hapo Dani alisema aliamua kula ndizi hiyo kwa sababu baba yake mzazi aliwahi kumwambia kuhusu umuhimu wa mwili wa mwanadamu kupata ndizi.

Support inaendelea ambapo time hii ni Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe katuma picha zake na yeye.

No comments:
Post a Comment