Thursday, 24 April 2014

HIVI NDIVYO MASHABIKI WA MAN U WALIVYOFURAHIA KUFUKUZWA KWA DAVID MOYES KWA KUCHORA TATUU MWILINI.CHEKI PICHA.

article-2589392-1C90F03700000578-537_634x426                                Mwezi February kuna picha ya shabiki mmoja wa soka anayeishabikia Manchester United ilisambaa sana ikimuonyesha kajichora tatoo ya “MoyesOut” kwamba hataki kabisa David Moyes aendelee kuwa meneja wa timu anayoishabikia.
David-Moyes-tattoo                                            Sasa baada ya David Moyes kufukuzwa shabiki huyu ameamua kuiongezea maandishi tatoo hiyo kuonyesha alivyofurahishwa na kufukuzwa kwake ambapo maneno hayo yanamaanisha ‘kazi imekamilika’
Bl1O2ZjIAAA0N4h

No comments:

Post a Comment