Thursday, 10 April 2014

MAMBO KUMI NILIYOJIFUNZA BAADA YA ROBO FAINALI YA UEFA CHAMPIONS LEAGUE:

Inawezekana kabisa Falcao akawa
amepishana
na bahati kama Owen alivyoenda Madrid
2: Koke anastahiki kuanza timu ya taifa Spain
mbele ya Xavi au Xabi
3: Si vibaya kumuiga alokutangulia kazini, leo
Pep
amekopa maarifa kwa Heyckens walikuwa
wepesi na wenye haraka akiendelea hivi
anaweza kutetea taji.
4: Ukitaka kucheza dhidi ya Messi zungumza na
Simeone anampatia kweli sio kawaida
5: Psg walimkosa aina ya akina (Benitez), Blanc
hajui kucheza knockout
6: Bale bado Madrid haiwezi ama haijafanikiwa
kujengwa kupitia yeye, wanamuhitaji Ronaldo
alie fiti kuvuka panapofuata
7: Mourinho ana mdomo mchafu lakini akili yake
na maamuzi ni ya kitanashati, bonge la kocha
8: Walau ukutane na bayern na sio hawa Atletico
kwa sasa, wana TIMU sio wachezaji, kuwafunga
inabidi upigane kwa aslimia 150
9: Unataka nusu fainali iliyo bora sasa weka
maombi iwe Atletico V/s Bayern na Chelsea V/s
Madrid
10: Diego Simeone V/s Rodgers yupi kocha bora
mwaka huu?????? Hapo mtanisaidia wenyeme ila
SIMEONE HUYU DAAAAHHHH acha nibaki na jibu
langu moyoni nahisi ushalijua

No comments:

Post a Comment