
Kazi
nzuri: Ronaldo akimpongeza mfungaji wa bao la ushindi la Real jana,
Gareth Bale katikati pamoja na kocha Msaidizi, Zinedine Zidane (kushoto)

Kocha wa Real Madrid, Carlo Ancelotti akiwa amebebwa juu na wachezaji wake

Bale akiwa ameruka juu kushangilia baada ya kufunga bao la ushindi jana Mestalla

Kipa wa Real Madrid, Iker Casillas akiwa ameshika taji la Copa del Rey

Wafalme: Wachezaji wa Real Madrid wakiwa katika picha ya pamoja na taji la jana

Gareth Bale (kushoto) na Luka Modric wakishangilia na taji la Copa del Rey
No comments:
Post a Comment