Kupitia U Heard ya leo na Gossip Cop, story ni
kuhusu Dudu Baya kumkata skio mama yake
mkubw, kwa madai kuwa anamloga ndio maana
hafanyi vizuri katika kazi zake za mziki.
Kwa mujibu wa mdogo wake kabisa (baada ya
kuzaliwa yeye) amethibitisha kutokea kwa tukio
hilo
"yah kafanya hivyo, ni jambo la
kusikitisha unajua ni hivyo, lakini sasa ndio hivyo
kashafanya, kaenda kule kwa mama mkubwa
kamkata skio, sababu haijulikani ni kwasababu
gani kaenda kufanya hivyo, hata kama alikuwa
na sababu halikuwa jambo la busara kumkata
skio"
"nilienda nikamuuliza nani amemkata skio
akasema ni mheshimiwa, akadai kwamba alikuwa
anamwambia anamloga sijui nini, mambo
ambayo hayana hatia ya msingi kwa ujumla,
kwasababu hata ukiangalia yeye ni motto wala
haumwi chochote wala wala mwanae hawaumwi
ni mzima sasa amemroga nini.......
Wednesday, 9 April 2014
SIJUI NI BANGI AU POMBE ZILIZOMSUMBUA DUDU BAYA KUMKATA MAMA YAKE SIKIO NA KUTOKOMEA NALO. SOMA MKASA MZIMA HAPA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment